Mpango wa Ulimwengu Mpya Unakuja!
. Viongozi wa Ulimwengu wanautaka
. Unaungwa mkono na wengi
. Ulitabiriwa miaka 2000 iliyopita
. Umekaribia sana .Utauteka Ulimwenguwote . Jinsi ya kuukwepa usiwe mhanga
. Kuanguka kwake ghafula na kwa ukamilifu kulitabiriwa
. Umekuja kwa Wakati wake hasa
. Mpango Mpya wa Kweli “Tupende au tusipende, tuwe tayari au tusiwe tayari, sisi sote tunaingizwa katika mashindano kamili ya aina tatu ya ulimwengu huu, ambayo hayana kizuizi cho chote kilichowekwa.
Hata hivyo, wengi sana miongoni mwetu si washindani. Sisi ni mambo tu zilizopigiliwa njiani. Kwa maana shindano hilo ni juu ya nani atakayeuanzisha mfumo wa kwanza wa serikali ya ulimwengu mzima ambayo haijapata kuwako kamwe katika jamii hii ya mataifa … Shindano hilo ni la kufa na kupona kwa sababu, kwa vile sasa limeanza, basi, hakuna njia yo yote inayoweza kuligeuza au kulisimamisha.” Malachi Martin, Mjesuti, azijuaye siri za ndani zaVatikani, Keys of This Blood, uk. 15.
Hilo ni wazo kubwa: yaani, huo Mpango wa Ulimwengu mpya, ambao mataifa mbalimbali yanavutwa kuingia pamoja ndani yake kwa kusudi lao moja … ni Marekani peke yake ambayo inayo mambo yote mawili, yaani, msimamo wake kimaadili na uwezo wake wa kuuunga mkono.” George Bush, Hotuba yake ya Muungano wa Taifa, Los Angeles Times, Feb. 18, 1991. “Chini ya uongozi shupavu wa Papa Yohane Paulo II, Serikali ya Vatikani imetwaa mahali pake halali katika ulimwengu huu na kuwa sauti ya kimataifa. Ni haki tu kwamba nchi hii ionyeshe heshima yake kwa Vatikani kwa kuitambua kidiplomasia kama Serikali ya Ulimwengu.” Dan Quayle, Appeal to the U.S. Senate, Sept. 22, 1983. “(Yohane Paulo II) anasisitiza kwamba wanadamu hawana tumaini lo lote la kutegemewa katika kuunda mfumo wa kisiasa wa ulimwengu mzima ulio na uwezo wa kujitegemea, isipokuwa kama ni kwa kufuata msingi wa Ukristo wa Kikatoliki wa Roma.” M. Martin, Keys of This Blood, ukurasa 492. “Umoja wa Mataifa - Viongozi wa mataifa yale yanayounda Baraza la Usalama leo hii walikuwa hapa New York kwa mkutano wao wa kwanza wa wakuu wa nchi, wakiwa tayari kuuweka Umoja wa Mataifa kuwa sehemu muhimu sana ya mpango huu wa ulimwengu mpya na kuunda sera ya pamoja juu ya kuleta amani na kudhibiti silaha…. “Mkutano huo wa viongozi wa mataifa hayo 15 yaliyomo katika Baraza la Usalama unaweka kumbukumbu kwa mara yake ya kwanza tangu kuundwa kwa shirika hilo la ulimwengu mwaka 1945,
. Viongozi wa Ulimwengu wanautaka
. Unaungwa mkono na wengi
. Ulitabiriwa miaka 2000 iliyopita
. Umekaribia sana .Utauteka Ulimwenguwote . Jinsi ya kuukwepa usiwe mhanga
. Kuanguka kwake ghafula na kwa ukamilifu kulitabiriwa
. Umekuja kwa Wakati wake hasa
. Mpango Mpya wa Kweli “Tupende au tusipende, tuwe tayari au tusiwe tayari, sisi sote tunaingizwa katika mashindano kamili ya aina tatu ya ulimwengu huu, ambayo hayana kizuizi cho chote kilichowekwa.
Hata hivyo, wengi sana miongoni mwetu si washindani. Sisi ni mambo tu zilizopigiliwa njiani. Kwa maana shindano hilo ni juu ya nani atakayeuanzisha mfumo wa kwanza wa serikali ya ulimwengu mzima ambayo haijapata kuwako kamwe katika jamii hii ya mataifa … Shindano hilo ni la kufa na kupona kwa sababu, kwa vile sasa limeanza, basi, hakuna njia yo yote inayoweza kuligeuza au kulisimamisha.” Malachi Martin, Mjesuti, azijuaye siri za ndani zaVatikani, Keys of This Blood, uk. 15.
Hilo ni wazo kubwa: yaani, huo Mpango wa Ulimwengu mpya, ambao mataifa mbalimbali yanavutwa kuingia pamoja ndani yake kwa kusudi lao moja … ni Marekani peke yake ambayo inayo mambo yote mawili, yaani, msimamo wake kimaadili na uwezo wake wa kuuunga mkono.” George Bush, Hotuba yake ya Muungano wa Taifa, Los Angeles Times, Feb. 18, 1991. “Chini ya uongozi shupavu wa Papa Yohane Paulo II, Serikali ya Vatikani imetwaa mahali pake halali katika ulimwengu huu na kuwa sauti ya kimataifa. Ni haki tu kwamba nchi hii ionyeshe heshima yake kwa Vatikani kwa kuitambua kidiplomasia kama Serikali ya Ulimwengu.” Dan Quayle, Appeal to the U.S. Senate, Sept. 22, 1983. “(Yohane Paulo II) anasisitiza kwamba wanadamu hawana tumaini lo lote la kutegemewa katika kuunda mfumo wa kisiasa wa ulimwengu mzima ulio na uwezo wa kujitegemea, isipokuwa kama ni kwa kufuata msingi wa Ukristo wa Kikatoliki wa Roma.” M. Martin, Keys of This Blood, ukurasa 492. “Umoja wa Mataifa - Viongozi wa mataifa yale yanayounda Baraza la Usalama leo hii walikuwa hapa New York kwa mkutano wao wa kwanza wa wakuu wa nchi, wakiwa tayari kuuweka Umoja wa Mataifa kuwa sehemu muhimu sana ya mpango huu wa ulimwengu mpya na kuunda sera ya pamoja juu ya kuleta amani na kudhibiti silaha…. “Mkutano huo wa viongozi wa mataifa hayo 15 yaliyomo katika Baraza la Usalama unaweka kumbukumbu kwa mara yake ya kwanza tangu kuundwa kwa shirika hilo la ulimwengu mwaka 1945,
4 comments
Click here for commentsMbona habari haijakamilika
ReplyMbona habari haijakamilika
ReplyUjumbe bado tunaendelea rafiki
ReplyKaribu ndugu
ReplyConversionConversion EmoticonEmoticon