FALME ZITAKAZOWAATHIRI WATU WA MUNGU
(SEHEMU YA KWANZA)
(SOMA DANIELI 7 YOTE) Mpendwa na rafiki katika Kristo ninakukaribisha tena siku ya leo tunapoendelea na kitabu cha Daniel leo tunaanza hasa siri nyingi na kubwa ambazo zipo katika biblia ,katika sura hii ya saba ni falme zilezile tulizoziona katika sura ile ya pili ila hapa kuna zaidi ya Maelezo yale ya sura ya pili kwa kuuelewa zaidi tutaigawa sehemu mbili ili iwe rahisi kufuatilia.
Sehemu ya Kwanza itatoa picha ya falme zote kuanzia Babeli hadi atakapokuja Bwana Yesu kuusimamisha ufalme wake wa milele.
Sehemu ya Pili itahusika na Ufalme wa Pembe Ndogo ambao utawaathiri sana watu wa Mungu katika siku za kufungia historia ya ulimwengu huu. Watu wa Mungu ni Israeli ya Kimwili (Wayahudi) na Israeli ya Kiroho (Wakristo wa Mataifa yote). Soma Warumi 2:28,29 na Wagalatia 3:26-29, na kurudia somo la Danieli 9 juu ya Taifa Takatifu la Mungu la siku hizi.
Katika Danieli 2 tuliziangalia falme hizo kwa Mtazamo wa Kisiasa. Tuliangalia tu utukufu wa falme hizo uliopungua kulingana na madini ----- dhahabu, fedha, shaba, chuma, na udongo.
Babeli ulikuwa na utukufu kuliko zote (Isa. 13:19).
Katika Danieli 7 tunaziangalia falme hizo kwa mtazamo wa KidiniKisiasa. Tunaona jinsi falme hizo zilivyowaathiri watu wa Mungu (Israeli ya Kimwili na Israeli ya Kiroho).
JE unadhani Mungu haoni watu wake wanapoteswa ?
Mungu anatishia kuchukua hatua ya kuziangamiza falme zote zinazotesa na kuwaua watu wake (Yer. 25:15-38; 46:28); watu wa Mungu ni sawa na mboni ya jicho lake (Zek. 2:8). Kuwapiga vita watu wa Mungu ni sawa na kupigana na Mungu mwenyewe. Kilele cha Pambano hili ni Vita ya Har-Magedoni ambayo ni vita kati ya Mungu na falme za dunia zinazotaka kuwaua watu wake, na kwa kufanya hivyo zinapigana na Mungu mwenyewe (Ufu. 16:13-16). Tutaona jinsi mataifa hayo moja baada ya jingine falme zao zilivyokomeshwa kabisa. Ufalme wa Warumi wa Kipagani na Ufalme wa Rumi ya Kipapa utapatilizwa katika nyakati za Agano Jipya kwa njia ya zile Baragumu Saba za Ufunuo 8 hadi 11. Utaelewa vizuri tukianza kitabu cha ufunuo.
Ni jambo la kusikitisha mno kwamba falme zote za dunia tamati yake ni kuangamizwa vibaya kwa sababu tu ya kumsaidia huyo "Pembe Ndogo" aitwaye kwa jina lingine "Mnyama" (Ufu. 19:11-21). Utaelewa vyema tukianza kitabu cha ufunuo.
Ni jukumu letu kuwaombea sana Wafalme, MaRais, mawaziri na viongozi wote wakuu wa ngazi zote katika serikali zote duniani ili wasije wakapatwa na mkasa huo aliouandaa Ibilisi (1 Tim. 2:1-6). Maneno ya kawaida tunayotumia mitaani yana maana tofauti katika taaluma mbalimbali. Kwa mfano "kijiko" ni chombo tunachotumia kulia chakula; lakini kwa Mhandisi wa Majengo na Barabara "kijiko" ni aina fulani ya katapila linalochota udongo na kuuweka wanakotaka.
Kwa mtu mwenye akili ni muhimu kuuliza, "Una maana gani kusema hivyo?" Ufafanuzi utakapotolewa harara yake itapoa. Hivi sasa watu wanaposikia neno hili "Mnyama" hasira zao zinapanda juu kiasi cha kumpa mikong'oto anayelitamka, hata kumpeleka mahakamani. Lakini neno hilo limetumika katika taaluma ya unabii, maana ya "Mnyama" ni "Mfalme" au "Ufalme" (Dan.7:17). Nani atampa mikong'oto mtu anayesema "Mfalme"? Atakuwa na upungufu kiakili. Ya nini kufoka, ndugu yangu? Uliza kwanza, utapata maana yake. Kwa hiyo, huyo Pembe Ndogo ni Mfalme au ni Ufalme. Tutatumia Sehemu ya Pili kumfafanua ili kila mtu amjue. Kwa maana asipojulikana na watu wote duniani, Yesu Kristo haji; tutaendelea kusota duniani na kuteseka kwa magonjwa sugu, umaskini, dhuluma kwa muda usiojulikana (2 The. 2:1-4). Paulo amerahisisha sana kwa wale wasioujua unabii kumtambua mfalme huyo katika fungu la 4.
Hebu sasa na tuziangalie falme hizo kwa jumla. Wanyama wote waliotajwa ni wakatili. Hii inamaanisha kwamba falme hizo zilifanya ukatili mkubwa. Tutapitia kwa kifupi tu:
1. SIMBA ----- UFALME WA BABELI
(*606-538 au 605-539 K.K.)
Ufalme wa Babeli unawakilishwa na Simba (Dan. 7:4; Yer. 4:5-7; Hab. 1:6-8). Katika Danieli 2
umewakilishwa kwa Kichwa cha Dhahabu (Dan. 2:37,38).
Kuhusu ukatili wake soma
2 Nya. 36:17-20; Yer. 21:7. "Mabawa mawili" aliyokuwa nayo simba ni kasi au wepesi wa kushinda vitani (Hab. 1:6-10). *Vitabu vya historia huonyesha miaka tofauti.
2. DUBU ----- UFALME WA WAMEDI NA WAAJEMI
(*538 au 539-331 K.K.)
Ufalme wa Wamedi na Waajemi unawakilishwa na Dubu, mnyama mkali sana (Dan. 7:5). Katika Danieli 2 umewakilishwa na Kifua na Mikono ya Fedha (Dan. 2:39a; 5:2531). "Mbavu 3" ni majimbo matatu yaliyotekwa kikatili sana na ufalme huu, nayo ni Babeli, Misri, na Lydia (sio Libya). Kuhusu ukatili wake soma Isa. 13:17-22; Yer. 51:2844.
3. CHUI ----- UFALME WA WAYUNANI
(331-168 K.K.)
Ufalme wa Wayunani unawakilishwa na Chui, mnyama mwenye machachari sana (Dan. 7:6). Katika Danieli 2 umewakilishwa na Tumbo na Viuno vya Shaba (Dan. 2:39b; 8:20,21). "Mabawa manne" humaanisha kasi zaidi katika kushinda vitani. "Vichwa vinne" huwakilisha watawala au wafalme (Ufu. 17:9,10) wanne waliotawala baada ya kufa Iskanda Mkuu (Alexander the Great). Hao ni majenerali wake - Cassander, Lysimachus, Seleucus, na Ptolemy. Katika Danieli 8 Iskanda Mkuu ni "pembe mashuhuri kati ya macho ya beberu" (Dan. 8:5,21), majenerali hao wanne ni "pembe nne" za beberu (Dan. 8:8,22). Ukatili wa ufalme huu soma Dan. 8:6,7.
4. MNYAMA WA KUTISHA ----- UFALME WA WARUMI
(168 K.K. - 476 B.K.)
Ufalme wa Warumi unawakilishwa na mnyama wa kutisha asiye na jina, mwenye pembe 10 (Dan. 7:7). Ulitawala makoloni 10 ya Ulaya Magharibi. Katika Danieli 2 umewakilishwa na Miguu ya Chuma (Dan. 2:40). Ukatili wake soma Dan. 7:7,23; 2:40. Ni ufalme unaovunja-vunja. Hawakutajwa kwa jina ila historia inakiri kuwa utawala uliouangusha Uyunani ni Rumi mwaka 168 K.K. Yesu alipozaliwa ulikuwa bado unatawala(Luka 2:1-7; Yoh. 11:48).
5. PEMBE KUMI ----- FALME 10 ZA ULAYA MAGHARIBI
(476 B.K. - KUJA YESU)
Falme hizo zinawakilishwa na Pembe 10 (Dan. 7:8). "Pembe" ni "Wafalme" au "Falme" (Dan. 7:24). Falme 10 zilijikomboa toka ukoloni wa Kirumi ulipoangushwa mwaka 476 B.K. na mataifa ya kipagani ya Ulaya Kaskazini.
Falme 10 ni
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uswisi (Switzerland), Ureno, Hispania, Italia, Heruli, Wavandali (Vandals), na Waostrogothi (Ostrogoths).
Katika Danieli 2 zimewakilishwa na Vidole 10 vya Nyayo (Dan. 2:41,42). Kuhusu ukatili wao soma historia. Zilimsaidia, tena zitamsaidia papa kuua watakatifu (Ufu.17:12-14).
6. PEMBE NDOGO ----- UFALME WA PAPA AU UPAPA
(538-1798 B.K.)
Ufalme wa Papa hapa unawakilishwa na Pembe Ndogo (Dan. 7:8,20,24). Ufalme huu una majina mengi katika unabii ----- Chukizo la Uharibifu, Mnyama, na kadhalikaUmewakilishwa na Nyayo za Miguu (2:33,42). Ukatili wake usio na kifani ulidhihirika katika Zama za Giza (Dark Ages) ulipowaua zaidi ya milioni 50 ya watu wa Mungu uliowaita "Wazushi" (Heretics). Soma Dan. 7:21,25.
Tunajuaje kama huo ni Upapa?
Soma Sehemu ya Pili ya Danieli 7 itakayofuata baada ya hii ..
7. MMOJA ALIYE MFANO WA MWANADAMU -- UFALME WA KRISTO (AJAPO)
Ufalme wa milele wa Kristo umewakilishwa na Mmoja aliye Mfano wa Mwanadamu (Dan. 7:13,14; Mt. 24:29-31). Katika Danieli 2 uliwakilishwa na Jiwe (Dan. 2:34,35,44,45). Ufalme huu hauna ukatili; raia zake watakuwa na amani milele (Ufu. 7:13-17; 21:l-7). Lakini kabla ya ufalme huo kuja, Hukumu inaendelea mbinguni tangu 1844 kuamua hatima ya falme hizo zinazotesa watu wa Mungu pamoja na adhabu ya waovu wote; ndipo atakuja mfalme wa amani je, ikotayari kumlaki ajapo usiwe na shaka Mpendwa wokovu upo kwaajili yako ,uendelee kufuatilia haya masomo utajifunza zaidi hata YESU atakapokuja hautaogopa bali utashangilia (Ufu.22:11,12).
Mpendwa nnaamini umeona baadhi tu ya mambo ambayo yamefichwa watu wengi hawayafundishi maana yanafunua ukweli ulivyo hasa ! Jipe moyo utaelewa usiwe na shaka ,Mungu atakufunulia zaidi ya hayo wewe umebarikiwa sana kuyafahamu haya ubarikiwe sana ,Karibu tuanoendelea na sehemu ya pili ukiwa na swali usisite kuuliza weka swali lako kwenye comments hapo chini ,
(SEHEMU YA KWANZA)
(SOMA DANIELI 7 YOTE) Mpendwa na rafiki katika Kristo ninakukaribisha tena siku ya leo tunapoendelea na kitabu cha Daniel leo tunaanza hasa siri nyingi na kubwa ambazo zipo katika biblia ,katika sura hii ya saba ni falme zilezile tulizoziona katika sura ile ya pili ila hapa kuna zaidi ya Maelezo yale ya sura ya pili kwa kuuelewa zaidi tutaigawa sehemu mbili ili iwe rahisi kufuatilia.
Sehemu ya Kwanza itatoa picha ya falme zote kuanzia Babeli hadi atakapokuja Bwana Yesu kuusimamisha ufalme wake wa milele.
Sehemu ya Pili itahusika na Ufalme wa Pembe Ndogo ambao utawaathiri sana watu wa Mungu katika siku za kufungia historia ya ulimwengu huu. Watu wa Mungu ni Israeli ya Kimwili (Wayahudi) na Israeli ya Kiroho (Wakristo wa Mataifa yote). Soma Warumi 2:28,29 na Wagalatia 3:26-29, na kurudia somo la Danieli 9 juu ya Taifa Takatifu la Mungu la siku hizi.
Katika Danieli 2 tuliziangalia falme hizo kwa Mtazamo wa Kisiasa. Tuliangalia tu utukufu wa falme hizo uliopungua kulingana na madini ----- dhahabu, fedha, shaba, chuma, na udongo.
Babeli ulikuwa na utukufu kuliko zote (Isa. 13:19).
Katika Danieli 7 tunaziangalia falme hizo kwa mtazamo wa KidiniKisiasa. Tunaona jinsi falme hizo zilivyowaathiri watu wa Mungu (Israeli ya Kimwili na Israeli ya Kiroho).
JE unadhani Mungu haoni watu wake wanapoteswa ?
Mungu anatishia kuchukua hatua ya kuziangamiza falme zote zinazotesa na kuwaua watu wake (Yer. 25:15-38; 46:28); watu wa Mungu ni sawa na mboni ya jicho lake (Zek. 2:8). Kuwapiga vita watu wa Mungu ni sawa na kupigana na Mungu mwenyewe. Kilele cha Pambano hili ni Vita ya Har-Magedoni ambayo ni vita kati ya Mungu na falme za dunia zinazotaka kuwaua watu wake, na kwa kufanya hivyo zinapigana na Mungu mwenyewe (Ufu. 16:13-16). Tutaona jinsi mataifa hayo moja baada ya jingine falme zao zilivyokomeshwa kabisa. Ufalme wa Warumi wa Kipagani na Ufalme wa Rumi ya Kipapa utapatilizwa katika nyakati za Agano Jipya kwa njia ya zile Baragumu Saba za Ufunuo 8 hadi 11. Utaelewa vizuri tukianza kitabu cha ufunuo.
Ni jambo la kusikitisha mno kwamba falme zote za dunia tamati yake ni kuangamizwa vibaya kwa sababu tu ya kumsaidia huyo "Pembe Ndogo" aitwaye kwa jina lingine "Mnyama" (Ufu. 19:11-21). Utaelewa vyema tukianza kitabu cha ufunuo.
Ni jukumu letu kuwaombea sana Wafalme, MaRais, mawaziri na viongozi wote wakuu wa ngazi zote katika serikali zote duniani ili wasije wakapatwa na mkasa huo aliouandaa Ibilisi (1 Tim. 2:1-6). Maneno ya kawaida tunayotumia mitaani yana maana tofauti katika taaluma mbalimbali. Kwa mfano "kijiko" ni chombo tunachotumia kulia chakula; lakini kwa Mhandisi wa Majengo na Barabara "kijiko" ni aina fulani ya katapila linalochota udongo na kuuweka wanakotaka.
Kwa mtu mwenye akili ni muhimu kuuliza, "Una maana gani kusema hivyo?" Ufafanuzi utakapotolewa harara yake itapoa. Hivi sasa watu wanaposikia neno hili "Mnyama" hasira zao zinapanda juu kiasi cha kumpa mikong'oto anayelitamka, hata kumpeleka mahakamani. Lakini neno hilo limetumika katika taaluma ya unabii, maana ya "Mnyama" ni "Mfalme" au "Ufalme" (Dan.7:17). Nani atampa mikong'oto mtu anayesema "Mfalme"? Atakuwa na upungufu kiakili. Ya nini kufoka, ndugu yangu? Uliza kwanza, utapata maana yake. Kwa hiyo, huyo Pembe Ndogo ni Mfalme au ni Ufalme. Tutatumia Sehemu ya Pili kumfafanua ili kila mtu amjue. Kwa maana asipojulikana na watu wote duniani, Yesu Kristo haji; tutaendelea kusota duniani na kuteseka kwa magonjwa sugu, umaskini, dhuluma kwa muda usiojulikana (2 The. 2:1-4). Paulo amerahisisha sana kwa wale wasioujua unabii kumtambua mfalme huyo katika fungu la 4.
Hebu sasa na tuziangalie falme hizo kwa jumla. Wanyama wote waliotajwa ni wakatili. Hii inamaanisha kwamba falme hizo zilifanya ukatili mkubwa. Tutapitia kwa kifupi tu:
1. SIMBA ----- UFALME WA BABELI
(*606-538 au 605-539 K.K.)
Ufalme wa Babeli unawakilishwa na Simba (Dan. 7:4; Yer. 4:5-7; Hab. 1:6-8). Katika Danieli 2
umewakilishwa kwa Kichwa cha Dhahabu (Dan. 2:37,38).
Kuhusu ukatili wake soma
2 Nya. 36:17-20; Yer. 21:7. "Mabawa mawili" aliyokuwa nayo simba ni kasi au wepesi wa kushinda vitani (Hab. 1:6-10). *Vitabu vya historia huonyesha miaka tofauti.
2. DUBU ----- UFALME WA WAMEDI NA WAAJEMI
(*538 au 539-331 K.K.)
Ufalme wa Wamedi na Waajemi unawakilishwa na Dubu, mnyama mkali sana (Dan. 7:5). Katika Danieli 2 umewakilishwa na Kifua na Mikono ya Fedha (Dan. 2:39a; 5:2531). "Mbavu 3" ni majimbo matatu yaliyotekwa kikatili sana na ufalme huu, nayo ni Babeli, Misri, na Lydia (sio Libya). Kuhusu ukatili wake soma Isa. 13:17-22; Yer. 51:2844.
3. CHUI ----- UFALME WA WAYUNANI
(331-168 K.K.)
Ufalme wa Wayunani unawakilishwa na Chui, mnyama mwenye machachari sana (Dan. 7:6). Katika Danieli 2 umewakilishwa na Tumbo na Viuno vya Shaba (Dan. 2:39b; 8:20,21). "Mabawa manne" humaanisha kasi zaidi katika kushinda vitani. "Vichwa vinne" huwakilisha watawala au wafalme (Ufu. 17:9,10) wanne waliotawala baada ya kufa Iskanda Mkuu (Alexander the Great). Hao ni majenerali wake - Cassander, Lysimachus, Seleucus, na Ptolemy. Katika Danieli 8 Iskanda Mkuu ni "pembe mashuhuri kati ya macho ya beberu" (Dan. 8:5,21), majenerali hao wanne ni "pembe nne" za beberu (Dan. 8:8,22). Ukatili wa ufalme huu soma Dan. 8:6,7.
4. MNYAMA WA KUTISHA ----- UFALME WA WARUMI
(168 K.K. - 476 B.K.)
Ufalme wa Warumi unawakilishwa na mnyama wa kutisha asiye na jina, mwenye pembe 10 (Dan. 7:7). Ulitawala makoloni 10 ya Ulaya Magharibi. Katika Danieli 2 umewakilishwa na Miguu ya Chuma (Dan. 2:40). Ukatili wake soma Dan. 7:7,23; 2:40. Ni ufalme unaovunja-vunja. Hawakutajwa kwa jina ila historia inakiri kuwa utawala uliouangusha Uyunani ni Rumi mwaka 168 K.K. Yesu alipozaliwa ulikuwa bado unatawala(Luka 2:1-7; Yoh. 11:48).
5. PEMBE KUMI ----- FALME 10 ZA ULAYA MAGHARIBI
(476 B.K. - KUJA YESU)
Falme hizo zinawakilishwa na Pembe 10 (Dan. 7:8). "Pembe" ni "Wafalme" au "Falme" (Dan. 7:24). Falme 10 zilijikomboa toka ukoloni wa Kirumi ulipoangushwa mwaka 476 B.K. na mataifa ya kipagani ya Ulaya Kaskazini.
Falme 10 ni
Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Uswisi (Switzerland), Ureno, Hispania, Italia, Heruli, Wavandali (Vandals), na Waostrogothi (Ostrogoths).
Katika Danieli 2 zimewakilishwa na Vidole 10 vya Nyayo (Dan. 2:41,42). Kuhusu ukatili wao soma historia. Zilimsaidia, tena zitamsaidia papa kuua watakatifu (Ufu.17:12-14).
6. PEMBE NDOGO ----- UFALME WA PAPA AU UPAPA
(538-1798 B.K.)
Ufalme wa Papa hapa unawakilishwa na Pembe Ndogo (Dan. 7:8,20,24). Ufalme huu una majina mengi katika unabii ----- Chukizo la Uharibifu, Mnyama, na kadhalikaUmewakilishwa na Nyayo za Miguu (2:33,42). Ukatili wake usio na kifani ulidhihirika katika Zama za Giza (Dark Ages) ulipowaua zaidi ya milioni 50 ya watu wa Mungu uliowaita "Wazushi" (Heretics). Soma Dan. 7:21,25.
Tunajuaje kama huo ni Upapa?
Soma Sehemu ya Pili ya Danieli 7 itakayofuata baada ya hii ..
7. MMOJA ALIYE MFANO WA MWANADAMU -- UFALME WA KRISTO (AJAPO)
Ufalme wa milele wa Kristo umewakilishwa na Mmoja aliye Mfano wa Mwanadamu (Dan. 7:13,14; Mt. 24:29-31). Katika Danieli 2 uliwakilishwa na Jiwe (Dan. 2:34,35,44,45). Ufalme huu hauna ukatili; raia zake watakuwa na amani milele (Ufu. 7:13-17; 21:l-7). Lakini kabla ya ufalme huo kuja, Hukumu inaendelea mbinguni tangu 1844 kuamua hatima ya falme hizo zinazotesa watu wa Mungu pamoja na adhabu ya waovu wote; ndipo atakuja mfalme wa amani je, ikotayari kumlaki ajapo usiwe na shaka Mpendwa wokovu upo kwaajili yako ,uendelee kufuatilia haya masomo utajifunza zaidi hata YESU atakapokuja hautaogopa bali utashangilia (Ufu.22:11,12).
Mpendwa nnaamini umeona baadhi tu ya mambo ambayo yamefichwa watu wengi hawayafundishi maana yanafunua ukweli ulivyo hasa ! Jipe moyo utaelewa usiwe na shaka ,Mungu atakufunulia zaidi ya hayo wewe umebarikiwa sana kuyafahamu haya ubarikiwe sana ,Karibu tuanoendelea na sehemu ya pili ukiwa na swali usisite kuuliza weka swali lako kwenye comments hapo chini ,
ConversionConversion EmoticonEmoticon